UNYONYAJI WA VIDOLE KWA WATOTO Unyonyaji wa vidole (hasa vidole gumba) kwa watoto ni jambo la kawaida na huwafanya watulie na kujisikia furaha na amani. Kunyonya vidole Gumba kuna athari gani kwa Meno? Kinywa cha mtoto hukua umri ukiwa unaongezeka na meno ya utu uzima yanapokua yanaanza kujitokeza kinywani. Unyonyaji wa vidole gumba huathiri vitu vifutavyo; ukuaji wa kinywa mpangilio wa meno ina uwezo wa kubadilisha muundo wa taya ya juu. Athari za unyonyaji wa vidole. Ukubwa wa matatizo haya hutegemea na nguvu inayotumika kunyonya vidole. Kuna watoto ambao huegesha tu kidole kwenye midomo(lips) bila kukinyonya hawa athari zao huwa ndogo sana ukilinganisha na wale ambao hunyonya vidole vyao kwa nguvu na hua athari za...
ELIMU,USHAURI NA MSAADA KUHUSU AFYA YA KINYWA. MAWASILIANO: PHONE; +255716817627, +255743507651 EMAIL; tanzaniaoralhealthfoundation@gmail.com