TATIZO LA KUSAGA MENO. Asilimia kubwa ya watu wana tatizo la kusaga meno ambalo kitaalamu linafahamika kama "bruxism". Tatizo hili la kusaga meno huenda sambamba na kukaza kwa taya (jaw clenching) Kuna aina mbili la tatizo hili la kusaga meno au bruxism, sleep/noctunal bruxism ambalo hutokea wakati mtu akiwa amelala na diurnal/awake bruxism ambalo hutokea wakati mtu akiwa macho. Aina zote mbili zina vitu vinavyofanana ambavyo ni kusaga meno na kukaza kwa taya. Ni ngumu kugundua kama una tatizo la kusaga kwa sababu mara nyingi hutokea bila kufahamu lakini kama una hizi dalili basi una tatizo la kusaga meno Maumivu ya taya na kupungua kwa kufunguka kwa mdomo Meno yaliyosagika na kuvunjika Maumivu ya kichwa Maumivu ya masikio Ingiwa mtu yoyote anaweza akapata tatizo hili ila huwapata sana watu wenye umri kuanzia miaka 20-40 Athari za kusaga meno. Kwanini watu wanasaga meno? Kuna sababu nyingi zinazopelekea watu kusaga meno, lakini inaaminika kuwa sa...
ELIMU,USHAURI NA MSAADA KUHUSU AFYA YA KINYWA. MAWASILIANO: PHONE; +255716817627, +255743507651 EMAIL; tanzaniaoralhealthfoundation@gmail.com