Skip to main content

Posts

Showing posts from 2023

VINA SABA NA AFYA YA KINYWA NA MENO

       Je vinasaba vinaweza kutabari uwezekano wa kupata magonjwa ya fizi na meno kutoboka? Je, magonjwa ya kutoboka meno na fizi hurithishwa? Jibu kwa sasa ni HAPANA. Magonjwa ya meno kutoboka na fizi yanachangiwa sana na mazingira na mitindo ya maisha na sio vina saba au kurithishwa. Usafi wa kinywa, vitu unavyokula, matumizi ya tumbaku yana mchango mkubwa sana katika kupata magonjwa ya fizi na meno kutoboka. Vifaa vya uchunguzi vinavyotumiwa na daktari pamoja na picha za xray ndivyo husaidia kujua hali ya afya yako ya kinywa kwa sasa na kutabiri hali katika siku za mbeleni. Chukua hatua sasa katika kuzuia magonjwa ya fizi na meno kutoboka kwa kufanya yafuatayo Piga mswaki angalau mara mbili kwa siku Safisha sehemu ya katikati ya meno yako kwa kutumia uzi maalum au floss Kula chakula bora na chenye afya na punguza matumizi ya vyakula vyenye sukari Fanya uchunguzi wa afya ya kinywa angalau mara mbili kwa mwaka

HOMONI NA AFYA YA KINYWA NA MENO - VITU AMBAVYO KILA MWANAMKE ANAPASWA KUJUA

 HOMONI ZA KIKE NA AFYA YA KINYWA NA MENO Uzito. Hisia, Mahitaji ya kimwili(sex drive). Afya ya kinywa na meno. Ni vitu ambavyo vinaweza kufanya afya yako ya mwili ikabadilika. Utashangazwa kujua jinsi mabadiliko ya homoni zako yanaweza kukufanya uwe katika hatari ya kupata magonjwa ya fizi. Sababu ni hii. Uwepo wa homoni nyingi za kike katika mwili wako unasababisha damu nyingi kutiririka katika fizi zako na kuzifanya ziwe sensitive na kuoverreact kwakitu chochote kitakachozikera(irritate). Wanawake wapo sensitive na uwepo wa uchafu katika meno yao pale ambapo homoni zao katika mwili zipo juu, hii  husababisha fizi kuvimba na kutoka damu na kama zisipotibiwa hupelekea kupoteza mfupa unaoshikilia meno na kupelekea meno kupotea. Homoni ni maisha na ni kitu kisichoepukika ila magonjwa ya fizi yanaweza kuzuiwa na kutibika katika hatua zake za mwanzo. Sasa nini kifanyike? Anza kwa kuwa makini na afya ya kinywa chako katika vipindi vitano katika maisha yako. 1. Balehe Mabadiliko ya...
 BEYOND TOOTHBRUSH PROJECT 2023 PHASE 1 We thank Miracle Corner World and Colgate Palmolive Company for their great support during this phase. We look Forward to more school visits and activities.
 BEYOND TOOTHBRUSH PROJECT 2021
 BEYOND TOOTHBRUSH PROJECT PROJECT SUMMARY INTRODUCTION: The oral health in Tanzania is far from being satisfactory. The recent studies conducted in this field showed that the knowledge level of children about the importance of oral health was poor. Dental caries as one of the oral health diseases is the most common chronic disease of children aged 5 to 11 years - five times more common than asthma. Many studies suggest that magnitude and severity of dental caries in primary and permanent teeth continue to be a major problem and should receive special attention. The four most accepted measures for prevention of dental caries and its complications are: oral hygiene, dietary counselling, fluoride, and fissure sealant. The first two measures do not require much expenditure. They can be implemented in any place via an educational program. Good hygiene and diet can prevent periodontal disease and dental caries. Many studies provided evidence of strong association between caries deve...